Head image
Govt. Logo

Hits 27123 |  5 online

     
Dkt Mwinyi Talib Haji ateuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu Zanzibar
news phpto

Dkt Mwinyi Talib Haji ateuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu Zanzibar.

Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu Namba 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi amemteua Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR.

Kabla ya Uteuzi huo Dkt. Mwinyi Talib Haji alikuwa Naibu Katibu Mkuu Katika Wizara ya mambo za nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Uteuzi huo umeanzia leo tarehe 03 Novemba, 2020.

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz