Hits 2031 | 2 online
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria Zanzibar, katika mkutano wa Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi kwa mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019,uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 22-8-2019.kulia kwa Rais Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee na Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar Mhe.Khamis Juma Mwalim.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria Zanzibar, katika mkutano wa Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi kwa mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019,uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 22-8-2019.kulia kwa Rais Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee na Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar Mhe.Khamis Juma Mwalim.(Picha na Ikulu)