Hits 2024 | 3 online
Ndugu Ali amesema mtoa huduma atahitajika kuweka utaratibu wa tathmini ya huduma anayoitoa kwa ufatiliaji wa mwenendo wa ushauri, mafunzo na taarifa za kila mwezi na kumbukumbu za vikao na kusisitiza kuwa kanuni imeweka wazi juu na kutoa muongozo kwa watoa huduma hao
Ndugu Ali amesema mtoa huduma atahitajika kuweka utaratibu wa tathmini ya huduma anayoitoa kwa ufatiliaji wa mwenendo wa ushauri, mafunzo na taarifa za kila mwezi na kumbukumbu za vikao na kusisitiza kuwa kanuni imeweka wazi juu na kutoa muongozo kwa watoa huduma hao
Aidha katika kuweka usimamizi mzuri, kanuni imeweka wazi kuwa msaidizi wa sheria katika utekelezaji wa majukumu yake atakuwa chini ya uangalizi wa Wakili au Mwanasheria