Head image
Govt. Logo

Hits 2024 |  3 online

     
mtoa huduma atahitajika kuweka utaratibu wa tathmini ya huduma anayoitoa kwa ufatiliaji wa mwenendo wa ushauri, mafunzo na taarifa za kila mwezi
news phpto

Ndugu Ali amesema mtoa huduma atahitajika kuweka utaratibu wa tathmini ya huduma anayoitoa kwa ufatiliaji wa mwenendo wa ushauri, mafunzo na taarifa za kila mwezi na kumbukumbu za vikao na kusisitiza kuwa kanuni imeweka wazi juu na kutoa muongozo kwa watoa huduma hao

Ndugu Ali amesema mtoa huduma atahitajika kuweka utaratibu wa tathmini ya huduma anayoitoa kwa ufatiliaji wa mwenendo wa ushauri, mafunzo na taarifa za kila mwezi na kumbukumbu za vikao na kusisitiza kuwa kanuni imeweka wazi juu na kutoa muongozo kwa watoa huduma hao

Aidha katika kuweka usimamizi mzuri, kanuni imeweka wazi kuwa msaidizi wa sheria katika utekelezaji wa majukumu yake atakuwa chini ya uangalizi wa Wakili au Mwanasheria

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz