Head image
Govt. Logo

Hits 70192 |  3 online

     
Wawezeshaji hao wamewaomba watoaji wa msaada wa kisheria kuipa mashirikiano ya kutosha Idara ili kuweza kufikia malengo.
news phpto

Wawezeshaji hao wamewaomba watoaji wa msaada wa kisheria kuipa mashirikiano ya kutosha Idara ili kuweza kufikia malengo pia kuzisoma na kuzielewa vizuri kanuni kwa lengo la kufikisha elimu kwa walengwa ambao ni wataka huduma wa msaada wa kisheria.

Wawezeshaji hao wamewaomba watoaji wa msaada wa kisheria kuipa mashirikiano ya kutosha Idara ili kuweza kufikia malengo pia kuzisoma na kuzielewa vizuri kanuni kwa lengo la kufikisha elimu kwa walengwa ambao ni wataka huduma wa msaada wa kisheria

Wakitoa michango yao washiriki wa mafunzo hayo wameomba kuwepo kwa mikutano mara mbili kwa mwaka kwa wasaidizi wote wa msaada wa kisheria, aidha wameomba kupatiwa vitambulisho maalum ili watakapokwenda kwa wananchi waweze kuwafahamu kiraisi pamoja na kuwatumia watoa huduma za msaada wa kisheria kwa wasomi wa vyuo vikuu vilivyopo nchini.

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz