Head image
Govt. Logo

Hits 26980 |  2 online

     
Jaji Mkuu Zanzibar Mhe Omar Othman Makungu akitoa taarifa kuhusu Mkutano Mkuu wa Majaji wa Afrika Mashariki
news phpto

Jaji Mkuu Zanzibar Mhe Omar Othman Makungu akitoa taarifa kuhusu Mkutano Mkuu wa Majaji wa Afrika Mashariki

Zanzibar kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Majaji wa Afrika Mashariki Octoba 21 hadi 25 Mwaka 2019 . Jumla ya nchi sita wanachama zitashiriki katika mkutano huo ambao utafunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dkt Ali Mohamed Shein katika Hoteli ya Madinat Al Bahri iliyopo Mbweni.

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz