Hits 70252 | 4 online
Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu akitoa hotuba na kumkaribisha mgeni rasmi katika hafla ya Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Mahakimu na Majaji wa Afrika Mashariki uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinatil Bahar Mbweni Zanzibar.
Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu akitoa hotuba na kumkaribisha mgeni rasmi katika hafla ya Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Mahakimu na Majaji wa Afrika Mashariki uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinatil Bahar Mbweni Zanzibar.