Head image
Govt. Logo

Hits 70214 |  6 online

     
Wizara ya Katiba na Sheria imesema mabadiliko ya sekta ya sheria yanayofanywa na seriklai ni kwa ajili ya kukuza uwezo wa watendaji wa taasisi za wizara hiyo...
news phpto

Katibu Mkuu Wizara Katiba na Sheria ndg George Kazi akiwa na Mkurugenzi Mipango Sera na Utafiti Bi Daima Mkalimoto

Wizara ya Katiba na Sheria imesema mabadiliko ya sekta ya sheria yanayofanywa na seriklai ni kwa ajili ya kukuza uwezo wa watendaji wa taasisi za wizara hiyo pamoja na kuwa mifumo bora ya utoajihaki kwa wananchi

Katibu Mkuu Wizara hiyo George Kazi ameyasema katika kikao cha wakuu wa taasisi za Wizara hiyo ili kupata maoni ya mpango wa kuimarisha sekta ya sheria Zanzibar

Amesema sekta hiyo inahitaji kuimarishwa ili kuenda saambamba na mabadiliko ya teknolojia pamoja na kufikia dira ya maendeleo ya Zanzibar katika sekta ya sheria

Wakitoa michango yao wataalamu hao wameomba kuzingatiwa utoaji na upatikanaji wa haki, kujali makundi maalum, jinsia , uendeshaji wa shughuli ya sekta ya sheria, uwazi , uadilifu na uwajibikaji

mshauri muelekezi katika masuala ya sekta ya Umma Lufumbi amewataka wataalamu hao kutoa ushirikiano ili mkakati wa kuimarisha sekta ya umma unaoandaliwa kuwa na maslahi mazuri kwa maendeleo ya Wizara ya Katiba na ya Taifa

Kikao hicho kimeamdaliwa Wizara ya Katiba na Sheria kwa kushirikiana na Shirika la maendeleo la kimataifa UNDP

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz