Head image
Govt. Logo

Hits 27787 |  2 online

     

KITENGO CHA UHASIBU

Madhumuni

Kutekeleza majukumu ya usimamizi wa mifumo ya fedha kwa mujibu wa taratibu zinazo zingatia maadili na kutoa huduma zenye kiwango za utunzaji mahesabu.

Kazi za Kitengo

  1. Mishahara
    • Kuandaa malipo ya mishara na makto ya kisheria.
    • Kusimamia msihahara
    • Kusimamia bajeti ya mishahara na stahili za watumishi
    • Kutunza kumbukumbu za mahesabu
  2. Ofisi ya Malipo

    Kuwasilisha Ankara za malipo / kusimamaia hundi toka Hazina/ Ripoti za Fedha nk

  3. Ofisi ya Mapato
    • Kukusanya na kutunza kumbukumbu za mapato
    • Usulishi wa Benki nk
  4. Pencheni
  5. Bajeti
  6. Ukaguzi wa Ndani

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz