KITENGO CHA UHASIBU
Madhumuni
Kutekeleza majukumu ya usimamizi wa mifumo ya fedha kwa mujibu wa taratibu zinazo zingatia maadili na kutoa huduma zenye kiwango za utunzaji mahesabu.
Kazi za Kitengo
- Mishahara
- Kuandaa malipo ya mishara na makto ya kisheria.
- Kusimamia msihahara
- Kusimamia bajeti ya mishahara na stahili za watumishi
- Kutunza kumbukumbu za mahesabu
- Ofisi ya Malipo
Kuwasilisha Ankara za malipo / kusimamaia hundi toka Hazina/ Ripoti za Fedha nk
- Ofisi ya Mapato
- Kukusanya na kutunza kumbukumbu za mapato
- Usulishi wa Benki nk
- Pencheni
- Bajeti
- Ukaguzi wa Ndani