Head image
Govt. Logo

Hits 26804 |  2 online

     

KITENGO CHA MAWASILIANO NA UMMA

Madhumuni

Kuratibu uzalishaji, usambazji na uelimishaji wa habari za huduma za sheria kwa madhumuni ya kuweka mazingira sahihi ya uelewa, na mitazamo kwa wadau na jamii kuhusu mifumo ya sheria na taswira ya SMZ.

Kazi za Kitengo

  1. Kusimamia na kuratibu kazi za Idara, kutayarisha bajeti ya idara, kushiriki vikao vya menejimenti
  2. Kuratibu kazi za maendeleo katika sekta ya habari
  3. Kuratibu habari za Wizara na kuzitoa kwa wahusika kwa mujibu wa kanuni
  4. Kusimamia utafiti wa habari
  5. Kutoa ushauri wa kitaalamu katika fani ya habari kwa viongozi wakuu
  6. Kutoa ushauri wa kitaalamu katika fani ya habari kwa taasisi zilizo chini ya wizara
  7. Kushiriki mijadala mbalimbali na vyombo vya habari kuhusu masuala yanayohusu wizara
  8. kuisemea wizara
  9. kusimamia na kubadilidha taarifa za katika tovuti na mitandao ya kijamii

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz