Head image
Govt. Logo

Hits 35424 |  10 online

     

VIKAO VYA MAHAKAMA YA RUFAA YA TANZANIA.

Posted: 2019-11-21 11:52:11
Mahakama ya rufaa ya Tanzania inatarajiwa kuanza vikao vyake kwa upande wa Zanzibar siku ya Jumatatu tarehe 25/11/2019 hadi tarehe 11/12/2019 ambapo jumla mashauri 29 yanatarajiwa kusikilizwa na kutolewa uamuzi,kati ya mashauri hayo 23 ni madai na 6 ni ya jinai.

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz