Head image
Govt. Logo

Hits 27689 |  3 online

     

USAJILI WA WATOA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA

Posted: 2020-02-21 05:03:24
Wizara ya Katiba na Sheria Zanzibar kupitia Idara ya Msaada wa Kisheria inawatangazia Watoaji wa Huduma za Msaada wa Kisheria kuwa, Mfumo wa usajili wa Watoaji wa Huduma za Kisheria kwa njia ya Kielektroniki umeanza kazi rasmi .
Kwa mujibu wa Sheria Nam.13 ya 2018 kifungu cha 4(1)(C) Kinawataka Watoaji wa Huduma za Msaada wa Kisheria Kujisajili. Huduma za Usajili inapatikana kupitia Tovuti ya Wizara ya Katiba na Sheria www.sheriasmz.go.tz Ingia katika sehemu ya Huduma ya Msaada wa Kisheria.

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz