Head image
Govt. Logo

Hits 35430 |  7 online

     
Mkurugenzi wa Idara ya Msaada wa Kisheria Bi Hanifa Ramadhan Said amesema kuwa kila mwananchi anayo haki ya kupata msaada wa kisheria bila ya ubaguzi kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya Zanzibar
news phpto

Mkurugenzi wa Idara ya Msaada wa Kisheria Bi Hanifa Ramadhan Said amesema kuwa kila mwananchi anayo haki ya kupata msaada wa kisheria bila ya ubaguzi kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya Zanzibar

Mkurugenzi wa Idara ya Msaada wa Kisheria Bi Hanifa Ramadhan Said amesema kuwa kila mwananchi anayo haki ya kupata msaada wa kisheria bila ya ubaguzi kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 ambayo inasisitiza kulindwa kwa haki za binadamu

Ameyasema hayo kwenye mafunzo kwa wasaidizi wa sheria yaliyowakutanisha wasaidizi wa sheria kutoka Mkoa wa Kusini na Kaskazini Pemba kwenye ukumbi wa Makonyo Chake Chake .

Bi Hanifa amewahimiza wasaidizi wa sheria kuwa tayari kuitumia Idara ya Msaada wa Kisheria pamoja na maafisa wake kwa utaratibu maalum uliowekwa kwani sio watu wote watapewa huduma hio isipokuwa kwa yule asie na uwezo kama sheria na kanuni zinavyoelekezwa

“mafunzo yaliyotolewa yalete mabadiliko kwenu tusifanye kazi kwa mazowea tujitowe kwa jamii tukawasaidie na tuwape ushauri na nina imani kuona kuwa tutapata matokeo chanya ya mafunzo haya”

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz