Head image
Govt. Logo

Hits 35376 |  10 online

     
makabidhiano ya ofisi
news phpto

Katibu wa Mufti wa Zanzibar sheikh Khalid Ali Mfaume akikabidhiwa majukumu na aliyekuwa Katibu wa Mufti Sheikh Fadhil Soraga.

Katibu wa Mufti wa Zanzibar sheikh Khalid Ali Mfaume akikabidhiwa majukumu na aliyekuwa Katibu wa Mufti Sheikh Fadhil Soraga tukio ambalo limeshuhudiwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Omar Kaab.Sheikh Fadhil Soraga anakuwa mshauri wa Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar kwa masuala ya dini ya kiislamu.

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz