Head image
Govt. Logo

Hits 35418 |  10 online

     
Waziri Khamis kutoa uwelewa kuhusu kuanzisha kwa Jumuiya ya Mawakili kutawezesha kupata michango yenye tija
news phpto

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Khamis Juma Mwalim amewaomba Wajumbe wa Kamati ya Sheria, Utawala Bora na Idara Maalum za SMZ wa Baraza la Wawakilishi kutoa uwelewa na kuwa walimu wazuri kwa wajumbe wengine wa Baraza la Wawakilishi na wananchi ili rasimu ya mswada wa sheria wa kuanzisha Jumuiya ya Mawakili Zanzibar iweze kufanya sheria na kuwa bora.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Khamis Juma Mwalim amewaomba Wajumbe wa Kamati ya Sheria, Utawala Bora na Idara Maalum za SMZ wa Baraza la Wawakilishi kutoa uwelewa na kuwa walimu wazuri kwa wajumbe wengine wa Baraza la Wawakilishi na wananchi ili rasimu ya mswada wa sheria wa kuanzisha Jumuiya ya Mawakili Zanzibar iweze kufanya sheria na kuwa bora

Mhe Khamis amesema lengo la kupewa uelewa wajumbe wa Kamati kupata michango kwa Wajumbe wengine wa Baraza la Wawakilishi ili kusaidia kuwepo kwa mfumo mzima wa sheria na utowaji wa haki .

Huduma za Tehama

Barua Pepe Msaada wa kisheria

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

MAHAKAMA DPP WAKFU LRC SADC IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 772, Mazizini, Zanzibar
Tel.: +255(24)2234683 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2234684 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2234689
Email: info@sheriasmz.go.tz